habari za majukumu?
ni matumaini yangu mabo c mabaya saana kwani waswahili wanasema "bora uzima" sasa ningependa nichukue fursa hii kuwashauri wenzangu na mie ambao bado hatuja pata ajiri rasmi, kujiajiri wenyewe aidha kwa kujiunga au kuanzisha vikundi vyetu vya ujasiriliamali kwa kipato kidogo cha kudunduliza tunaweza fanya mambo mengi, kama una access na internet au una email, tuwasiliane kwa email kwani nna mengi ya kujulishana hasa upande wa ujasiriliamali, ingawa wazo langu la mwanzo ilikuwa ni uhasibu na ugavi, inanibidi ni diversify ili kukidhi hali ya sasa ya kiuchumi. tuwasiliane jamani kwani nna mengi ya ku share pamoja. kwa sasa nimeshakuwa affiliate marketer wa kampuni mbali mbali, nna imani sote tunaweza fanya japo kwa uchache nasi tukapata japo kiasi kidogo cha fedha za kujikimu na matumizi madogo madogo, hakuna gharama kama za kuhudhuria street university ya erick shigongo, muhimu tufatiliane kwa umakini zaidi.
all the best.
ni matumaini yangu mabo c mabaya saana kwani waswahili wanasema "bora uzima" sasa ningependa nichukue fursa hii kuwashauri wenzangu na mie ambao bado hatuja pata ajiri rasmi, kujiajiri wenyewe aidha kwa kujiunga au kuanzisha vikundi vyetu vya ujasiriliamali kwa kipato kidogo cha kudunduliza tunaweza fanya mambo mengi, kama una access na internet au una email, tuwasiliane kwa email kwani nna mengi ya kujulishana hasa upande wa ujasiriliamali, ingawa wazo langu la mwanzo ilikuwa ni uhasibu na ugavi, inanibidi ni diversify ili kukidhi hali ya sasa ya kiuchumi. tuwasiliane jamani kwani nna mengi ya ku share pamoja. kwa sasa nimeshakuwa affiliate marketer wa kampuni mbali mbali, nna imani sote tunaweza fanya japo kwa uchache nasi tukapata japo kiasi kidogo cha fedha za kujikimu na matumizi madogo madogo, hakuna gharama kama za kuhudhuria street university ya erick shigongo, muhimu tufatiliane kwa umakini zaidi.
all the best.
No comments:
Post a Comment