hi again my dear viewers, habar za maisha? like the topic says, we have completed our studies( the colleges and university thing, what about getting employed?) nadhan hilo ni swali ambalo wengi tunajiuliza hasa tukizingatia jinsi tulivyokuwa tukijipa moyo tukiwa mashuleni kwamba as soon as we finish our studies there will be plenty jobs waiting for us to fill them, inavunja moyo but ndo ukweli wenyewe kwamba kazi ni chache sawa na hakuna kabisa, so what to do? tujiajiri, tutafanyaje bila kuwa na mitaji ya kuanzia(capitals to initiate), nani ni mkarimu kiasi cha kutusaidia ili tunyanyuke nasi tuwe katika maisha mazuri, ni biashara au shughuli gani ya kufanya ili itukomboe? binafsi maswali haya yananiumiza kichwa saana, inafika kipindi najiuliza " is it worth it" the time i have wasted and resources spent? kweli inabidi tubadilishe system za maisha yetu kwan maisha yamesha badili muelekeo wake na kama hali itaendelea kuwa hivi ni wazi kwamba degree moja si kitu tena labda kwa wachache wenye bahati na waliokuwa ktk channel nzuri.
mwaonaje wenzangu? until next time adios!
mwaonaje wenzangu? until next time adios!