ndugu zangu, mabibi na mabwana, natoa mwaliko rasmi katika graduation yangu itakayofanyika tarehe 17 dec 2011, katika viwanja vya Uhasibu Kurasini kuanzia saa 7 mchana. karibuni wote.
Wahasibu na Wagavi
Sunday, December 11, 2011
Monday, November 28, 2011
Shule tumemaliza, vp kuhusu ajira?
hi again my dear viewers, habar za maisha? like the topic says, we have completed our studies( the colleges and university thing, what about getting employed?) nadhan hilo ni swali ambalo wengi tunajiuliza hasa tukizingatia jinsi tulivyokuwa tukijipa moyo tukiwa mashuleni kwamba as soon as we finish our studies there will be plenty jobs waiting for us to fill them, inavunja moyo but ndo ukweli wenyewe kwamba kazi ni chache sawa na hakuna kabisa, so what to do? tujiajiri, tutafanyaje bila kuwa na mitaji ya kuanzia(capitals to initiate), nani ni mkarimu kiasi cha kutusaidia ili tunyanyuke nasi tuwe katika maisha mazuri, ni biashara au shughuli gani ya kufanya ili itukomboe? binafsi maswali haya yananiumiza kichwa saana, inafika kipindi najiuliza " is it worth it" the time i have wasted and resources spent? kweli inabidi tubadilishe system za maisha yetu kwan maisha yamesha badili muelekeo wake na kama hali itaendelea kuwa hivi ni wazi kwamba degree moja si kitu tena labda kwa wachache wenye bahati na waliokuwa ktk channel nzuri.
mwaonaje wenzangu? until next time adios!
mwaonaje wenzangu? until next time adios!
Wednesday, November 16, 2011
Taarifa kuhusu Kazi na waomba kazi
Habar za siku tele ndugu zangu, naomba nichukue fursa hii kuwapa habari kidogo juu ya jambo hili. ni kuhusu uwepo wa nafasi za kazi na idadi ya waombaji wa hizo nafasi. hivi juzi juzi shirika moja maarufu hapa nchini lilitoa nafasi kibao tu za kazi, kwa mujibu wa chanzo changu cha habari wanaohitajika ni kama watu thelathini hivi, lakini ugumu unakuja hapa, waombaji wa hizo nafasi ni zaidi ya elfu kumi(10,000).
sasa kwa wenzangu na mimi ambao ndo kwanza tumemaliza vyouni nadhani ni kiasi gani tunavyoona mtaani palivyo pagumu.binafsi nashauri kwa wanzangu wengi tubadili muelekeo wa maisha yetu kwa mtazamo chanya na kuelekea aidha katika kilimo, kufuga au ujasiriamali kwa ujumla. kama tutajiweka katika makundi ya watu japo watono au kumi tunaoaminiana naimani tutafanya mambo makubwa na kuweza kufika mbali badala ya kukaa na kutegemea kuajiriwa ambapo idadi yetu imezidi ajira zilizopo zaidi ya mara 80.
kuna taasisi nyingi zimekuwa na tabia ya kutumia muda na nguvu za watu wedngi kwa ajili ya manufaa yao wachache, kuna watu wameshawishika kuingia katika biashara za mtandao ambazo matokeo yake zinawagharimu kwani mwisho wa siku waliotangulia kuingia katika hizo program ndo wanafaidika zaidi, binafsi siwashauri wenzangu muingie katika mitego ya namna hiyo. si vizuri kuzitaja hizo taasisi zenyewe hapa ila kama mtu atahitaji tuwasiliane nami ntamtumia majina yake.
Ikumbukwe kuwa KAZI hazitafuti watu ila watu ndo wanatafuta kazi, na kupata kazi ni KAZI kama neno lenyewe.
Niwatakie kila la kheri na tuwe makini zaidi.
sasa kwa wenzangu na mimi ambao ndo kwanza tumemaliza vyouni nadhani ni kiasi gani tunavyoona mtaani palivyo pagumu.binafsi nashauri kwa wanzangu wengi tubadili muelekeo wa maisha yetu kwa mtazamo chanya na kuelekea aidha katika kilimo, kufuga au ujasiriamali kwa ujumla. kama tutajiweka katika makundi ya watu japo watono au kumi tunaoaminiana naimani tutafanya mambo makubwa na kuweza kufika mbali badala ya kukaa na kutegemea kuajiriwa ambapo idadi yetu imezidi ajira zilizopo zaidi ya mara 80.
kuna taasisi nyingi zimekuwa na tabia ya kutumia muda na nguvu za watu wedngi kwa ajili ya manufaa yao wachache, kuna watu wameshawishika kuingia katika biashara za mtandao ambazo matokeo yake zinawagharimu kwani mwisho wa siku waliotangulia kuingia katika hizo program ndo wanafaidika zaidi, binafsi siwashauri wenzangu muingie katika mitego ya namna hiyo. si vizuri kuzitaja hizo taasisi zenyewe hapa ila kama mtu atahitaji tuwasiliane nami ntamtumia majina yake.
Ikumbukwe kuwa KAZI hazitafuti watu ila watu ndo wanatafuta kazi, na kupata kazi ni KAZI kama neno lenyewe.
Niwatakie kila la kheri na tuwe makini zaidi.
Saturday, November 5, 2011
Ndugu zanguni
habari za majukumu?
ni matumaini yangu mabo c mabaya saana kwani waswahili wanasema "bora uzima" sasa ningependa nichukue fursa hii kuwashauri wenzangu na mie ambao bado hatuja pata ajiri rasmi, kujiajiri wenyewe aidha kwa kujiunga au kuanzisha vikundi vyetu vya ujasiriliamali kwa kipato kidogo cha kudunduliza tunaweza fanya mambo mengi, kama una access na internet au una email, tuwasiliane kwa email kwani nna mengi ya kujulishana hasa upande wa ujasiriliamali, ingawa wazo langu la mwanzo ilikuwa ni uhasibu na ugavi, inanibidi ni diversify ili kukidhi hali ya sasa ya kiuchumi. tuwasiliane jamani kwani nna mengi ya ku share pamoja. kwa sasa nimeshakuwa affiliate marketer wa kampuni mbali mbali, nna imani sote tunaweza fanya japo kwa uchache nasi tukapata japo kiasi kidogo cha fedha za kujikimu na matumizi madogo madogo, hakuna gharama kama za kuhudhuria street university ya erick shigongo, muhimu tufatiliane kwa umakini zaidi.
all the best.
ni matumaini yangu mabo c mabaya saana kwani waswahili wanasema "bora uzima" sasa ningependa nichukue fursa hii kuwashauri wenzangu na mie ambao bado hatuja pata ajiri rasmi, kujiajiri wenyewe aidha kwa kujiunga au kuanzisha vikundi vyetu vya ujasiriliamali kwa kipato kidogo cha kudunduliza tunaweza fanya mambo mengi, kama una access na internet au una email, tuwasiliane kwa email kwani nna mengi ya kujulishana hasa upande wa ujasiriliamali, ingawa wazo langu la mwanzo ilikuwa ni uhasibu na ugavi, inanibidi ni diversify ili kukidhi hali ya sasa ya kiuchumi. tuwasiliane jamani kwani nna mengi ya ku share pamoja. kwa sasa nimeshakuwa affiliate marketer wa kampuni mbali mbali, nna imani sote tunaweza fanya japo kwa uchache nasi tukapata japo kiasi kidogo cha fedha za kujikimu na matumizi madogo madogo, hakuna gharama kama za kuhudhuria street university ya erick shigongo, muhimu tufatiliane kwa umakini zaidi.
all the best.
Saturday, October 29, 2011
My viewers
it so happens that i have created two blogs at the same time while i was trying to publish and make this one better, sorry for the confusion that have occur but i assure you that i am working on remedy for this, mean time i advise you to ignore a bit about that other blog"mutchoh.blogspot.com" except for the last content published stating why i was so quite for a while, hope things could turn better this time, good luck to us all.
Friday, September 23, 2011
Marketing Officer
Job Title : Marketing Officer
Source : Sunda (T) Investment Company Limited
Requirements : University degree / advanced diploma in business administration, marketing OR other related field work
Job Description :
Apply To : Full Address : Sunda (T) Investment Company Limited DSM Office P O BOX 9012 Dar es Salaam, Tanzania
Closing Date : 26/Sep/2011
Assistant Lecturer
Job Title : Assistant Lecturer
Source : Mzumbe University
Requirements : Master degree majoring in Marketing or International Business with GPA 3.5 and above in the same specialization at undergraduate level.
Job Description :Conducting lectures, preparing case studies, assisting in tutorials/seminars in degree and other courses, work in cooperation with senior members on specific projects such as research and consultancy.
Apply To : Deputy Vice ChancellorFull Address : The Deputy Vice Chancellor (Administration and Finance), Mzumbe University, P.O. Box 1, Mzumbe
Closing Date : 28/Sep/2011
Finance and Administration Assistant (APC level)
Job Title : Finance and Administration Assistant (APC level)
Source :
Requirements : Relevant degree or accounting qualification or equivalent in accounting, finance and administration
Job Description :� Manage the regional programme office front office, welcoming office guests and ensuring the office presents an attractive and compelling first impression of Restless Development - Tanzania � Maintain all office administrative records including among others: generator log, stock inventory records, staff leave request and record forms, fixed asset register. � Manage regional programme office communication systems these include: maintaining the telephone and internet systems, ensuring the post box is checked weekly � Ensuring vehicle log books are maintained and kept up to date by staff who drive Restless Development vehicles and weekly vehicle checks � Ensuring all staff complete weekly timesheets and transferring sending to Head Office. � Assist in training of non-finance staff and volunteers in Restless Development finance procedures � Ensuring all stocks are monitored (i.e. office supplies, phone cards etc) and a stock register is maintained � Maintaining and monitoring other admin records as guided by the Restless Development Tanzania Financial Procedures Manual � Any other duties a required
Apply To :
Full Address : jobs@restlessdevelopment.org
Email Applications: jobs@restlessdevelopment.org
Closing Date : 30/Sep/2011
PROGRAMME ASSISTANT
UNDP Tanzania invites application letters from qualified Tanzanians for the position of Programme Assistant for an HIV/AIDS Project in Prisons, which is supported by the United Nations Office for Drugs & Crimes (UNODC) in Nairobi. The incumbent will be based in Dar es Salaam, working under the direct supervision of the National Project Coordinator (NPC). The successful candidate will provide broad project support functions involving a set of inter-linked but distinct tasks of project assistance, administrative, meetings organization, and some secretarial support.
Specific duties and responsibilities:
· Assist in all administrative matters relating to the organization of meetings, training seminars, accommodation, workshops and conferences, including participants’ travel and administrative arrangements, negotiating and securing meeting venues and setting up of meetings.
· In accordance with the UN rules, procedures and standards, maintain the operational, financial and administrative records, including petty cash, for project monitoring and reporting purposes and work closely with other project staff in the country and at the Regional Office.
· Support the Regional Office in raising purchase orders, travel and other claims, and follow-up outstanding payments for the respective project office.
· Assist in the preparation of correspondence, reports and documents as requested and organize both incoming and outgoing correspondences.
· Arrange and maintain a calendar of appointments and prepare travel plans for missions by the National Project Coordinator. Perform other duties as will be assigned by the supervisor.
Academic qualifications, experience and skills:
· High School (Secondary) certificate plus a Diploma in Business, Public Administration, or any other related fields. An Advanced Diploma will be of added advantage. A minimum of 5 years progressive experience including at least 3 years in the field of administrative services, finance and accounting.
· Good interpersonal skills, ability to work in a multi-cultural and multi-ethnic environment with sensitivity and respect for diversity, excellent command of spoken and written English and Kiswahili, excellent drafting skills for routine correspondence, proficiency in Excel, Word, PowerPoint in a LAN environment, knowledge of various administrative procedures of the United Nations System desirable.
· Substantive experience in administrative functions (e.g. administrative and project budget preparation), familiarity with relationship between business objectives and operations, sound organizational skills, ability to prioritize work and to work independently or with minimum supervision, ability to deliver assignments in a timely manner, initiative and willingness to learn new skills.
Type of Contract: Service Contract. Duration: One year initially. Salary Level: SB 3
Mode of Application:
Send applications attaching current/detailed CVs, copies of certificates, duly completed and signed P11 Form to: Development Support Services (DSS) Unit, UNDP, P.O. Box 9182, Dar es Salaam or through E-mail address: recruitment.tz@undp.org, latest by 07 October 2011. Applicants are strongly advised to access detailed Project Document (PD) and TOR from our website: www.tz.undp.org. P11 Form can also be downloaded from the same website. Qualified female candidates are strongly encouraged to apply. Only short-listed candidates will be contacted.
Assistant Accountant
Job Title : Assistant Accountant
Source : Sunda (T) Investment Company Limited
Requirements : Advanced diploma or first degree in accountancy
Job Description :
Apply To :
Full Address : Sunda (T) Investment Company Limited
P O BOX 9012 Dar es Salaam, Tanzania
Closing Date : 26/Sep/2011
Subscribe to:
Posts (Atom)